Friday 11 September 2015

VOTE on 25th October for CCM (Chama Cha Mapinduzi) Union Presidential candidate DR JOHN POMBE MAGUFULI.

Dr. John Pombe Magufuli

Dk. John Pombe Magufuli (amezaliwa 29 Oktoba 1959) ni mwanasiasa Mtanzania wa CCM ambaye aliwahi kutumikia Baraza la Mawaziri la Tanzania, kama Waziri wa Ujenzi tangu 2010. Hapo awali alikuwa Naibu Waziri wa Ujenzi tangu 1995 hadi 2000, Waziri wa Ujenzi tangu 2000 hadi 2006, Waziri wa Ardhi na Makazi tangu 2006 hadi 2008, na Waziri wa Mifugo na Uvuvi kutoka 2008 hadi 2010. Aliwahi kuwa Mbunge wa jimbo la Chato tangu mwaka 1995. Yeye ndiye mgombea Urais wa CCM katika uchaguzi mkuu wa 2015.
     
CHAMA CHA MAPINDUZI
Sanduku La Posta: 50047
Dar Es Salaam, Tanzania
You received this email as part of our network.