Saturday 12 December 2015

MATUKIO MBALIMBALI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
Dar es salaam, Madereva wa boda boda wakiongoza maandamano ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake jijini Dar es salaam. Maandamano hayo yalianzia uwanja wa Tipi ulioko Sinza hadi katika hotel ya Blue Pearl iliyopo Ubungo.

Dar es salaam, Ujumbe mbalimbali wa maadhimisho ya kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia.

Kilimanjaro, Maandamano yakipita eneo la kituo kuu cha Mabasi cha mjini Moshi yakieekea katika viwanja vya kituo hicho ambako uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kanda ya kaskazini
Kilimanjaro, Mkuu wa wilaya ya Moshi, Novatus Makunga akisikiliza malezo kutoka katika banda la shirika la NAFGEM linalopambana na vitendo vya Ukatili dhidi ya Wanawake.

Mwanza, Shirika la kutetea haki za wanawake la KIVULINI la jijini Mwanza likikabidhi zawadi mbalimbali zikiwemo laptop kwa waandishi walioandika habari zinazotetea haki za wanawake.


Kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia inahitimishwa leo tarehe 10 Disemba ambayo ni siku ya kimataifa ya tamko la Haki za Binadamu ikiwa ni ishara ya kuhusisha ukatili dhidi ya wanawake na haki za binadamu na kutia msisitizo kwamba ukatili kama huu ni ukiukwaji wa haki za binadamu.

Maadhimisho haya yalianza rasmi tarehe 25 Novemba siku ambayo ilichaguliwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1993 kuwa ni siku ya kimataifa ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake ambapo kila mwaka, Umoja wa Mataifa unashauri, mashirika ya Kimataifa na asasi zisizo za kiserikali kufanya shughuli zinazolenga kufahamisha jamii juu ya ukatili wa kijinsia, hususani ukatili dhidi ya wanawake.

Mwaka huu, kauli mbiu inasema FUNGUKA, CHUKUA HATUA, MLINDE MTOTO APATE ELIMU yenye lengo la kuhamasisha jamii kutambua changamoto mbalimbali zinazohatarisha usalama na kuchochea ukatili wa kijinsia mashuleni ikiwa ni pamoja na suala la viboko kuendelea kuwa tatizo kubwa, adhabu kali wanazopewa watoto ambao haiendani na umri wao pamoja na mila na desturi potofu zinazokandamiza watoto wa kike kama mimba za utotoni na ukeketaji.

Video: Uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia: https://www.youtube.com/watch?v=TdGTQiAi4Fg

Mkurugenzi wa shirika la WiLDAF, Dr. Judith Odunga akizungumza wakati wa ufunguzi wa kampeni hizi alitaja changamoto nyingine kuwa ni miundombinu ambayo ni pamoja na kuwa na madarasa ya kutosha, madawati, vyoo na sehemu za kujisitiri kwa watoto wa kike, mabweni, uzio kuzunguka mashule pamoja na mazingira magumu ya usafiri wakati wa kwenda na kurudi nyumbani na kutokuwa na chombo cha wanafunzi cha kutumika kusemea matatizo yao pale ambapo wanakutana na changamoto mbalimbali.

Akiongezea, Dr. Odunga alisema kampeni hii kwa mwaka huu ilifanyika kikanda chini ya uratibu wa mashirika na wadau mbalimbali wa maendeleo. Kanda hizo ni kanda ya Ziwa (Mwanza, Mara na Shinyanga), Kanda ya Kaskazini (Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Tanga), Kanda ya Kati (Dodoma, Morogoro na Singida), Kanda ya Kusini (Mtwara, Songea, Mbeya, Iringa na Lindi), Kanda ya Pwani (Dar es salaam na Pwani) na kuratibiwa na wadau mbalimbali wakiwemo mashirika ya KIVULINI, CWCA, NAFGEM, Morogoro Paralegal,  Mtwara paralegal, WiLDAF, TWCWC pamoja na Jeshi la Polisi.

Ujumbe wa maadhimisho haya na picha zinapatikana kupitia ukurasa wa Facebook wa WILDAF ambao ni www.facebook.com/WILDAFTZ

WAFANYAKAZI WA NURU FM 93.5 IRINGA WAFANYA USAFI HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA IRINGA KUMUUNGA MKONO RAIS DR JOHN POMBE MAGUFULI.


Fredy mgunda ambaye ni chief repoter wa radio nuru fm 
 hawa muhamed na devota romanus wakiwa eneo la tukio wakifanya usafi 
 shauri mkwawa a.k.a mama la mama na wafanyakazi wenzake wakifanya usafi
  shauri mkwawa a.k.a mama la mama na wafanyakazi wenzake wakifanya usafi



Wafanyakazi wa kituo cha redio nuru fm 93.5 iringa wamejitokeza kufanya usafi katika hospital ya rufaa ya iringa kwa lengo la kumuunga mkono rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dr john pombe magufuli.

Wakizungumza wakati wakiwa wanafanya usafi katika eneo hilo wamesemakuwa wameamua kufanya usafi katika hospital hiyo kwa kuwa ndio hospital inayohudumia wananchi wengi kuliko hospitali nyingine zilizopo mkoani hapa.
Denis nyali ni mhariri wa habari wa radio hiyo amesema kuwa wameamua kufanya usafi kwa lengo la kuwaonyesha wananchi na wafanyakazi wa hospital hiyo kuwa iringa kuwa safi inawezekana kutokana na kauli moja tu aliyoitoa rais imekuwa gumzo kila kona hivyo wananchi wanatakiwa kufanya usafi kila mara na usafi uwe jadi yao.

“Angalia hapa leo hospitali kama hii ya rufaa uchafu wote huu unatoka hapa kama wanagekuwa wanafanya usafi kila siku na kuona usafi ni sehemu ya maisha yao tusingeona hali hii na pia tusinge pata wagonjwa wa magonjwa ya milipuko naomba wananchi wezangu zoezi hili liwe endelevu”alisema denis nyali. 
Hawa muhamed na grace michaeli wamesema ni aibu wananchi kukumbushwa kufanya usafi na rais wakati huo ni wajibu wa kila mwananchi na kuongeza kuwa wanampongeza rais wa awamu ya tano  kwa kasi yake anayoendana nayo sasa kwa inawafanya watanzania waanze kuiamini serikali yao tofauti na ilivyo kuwa hapo awali.

Fredy mgunda ambaye ni chief repoter wa radio nuru fm amewataka wananchi kuendeleza juhudi za rais kwa kuwa wasafi kila siku na kuafanya usafi kila mara ili nchi hii isikumbwe na magonjwa ya milipuko na kuongeza kuwa serikali ya manispaa ya iringa inatakiwa kutunga sheria ndogondogo za usafi.

“Hapa iringa hatuna kabisa sheria za usafi kwa utaona wananchi wanatupa takataka hovyo huku viongozi wa mji huu wakiwa kimya kwa namna hiyo hatuwezi kuwa na mji msafi hata siku moj,ukienda pale stand watu wanakojoa na kujisaidia hovyo lakini hawachukuliwi hatua yoyote ile “alisema fredy  mgunda

Hussein faraha ni mtangazaji wa radio hiyo amewaomba wananchi kuendeleza kufanya usafi kwa kuwa ndio jadi ya mtazania hata ukikumbuka hapo zamani wakati mwalimu nyerere akiwa hai alikuwa akisisitiza usafi hivyo ujio wa rais huyu wa awamu ya tano john magufuli naanza kufananisha na marehem waziri mkuu Edward molinge sokoine  kwa uchapaji kazi wake.

“Leo nimemuana rais huyu akizama kwenye matope kufanya usafi huku akiwa na sura ya furaha kujumuika na wananchi wakati wa kufanya kazi hiyo ni ishara tosha kumlinganisha na marehemu mwalimu nyerere kwani alikuwa anafanya kazi pamoja na wananchi wake”. alisema husien farahani

Naye jeni kalinga amesema kwa anamkubali sana rais kwa kasi yake na kuwaomba wananchi kumuombea awe na uhai kwa kuwa sasa anatimiza matakwa ya watanzania wengi waliokuwa wamekata tamaa na nchi yao 

“Daa jamaa yangu magufuli jembe kinoma si unaona linavyolima kila kona ni gumzo hivyo lazima tumpe nguvu na serikali imuongezee ulinzi tuiseje tukalipoteza jembe letu lilorudisha matumaini ya watanznia”alisema jeni kalinga.

Kwa upande wao baadhi ya wafanyakazi wa hospitali hiyo wamekipongeza kituo hicho cha radio kwa kuwa mfano wa kuigwa kwa kuwa wamejituma kufanya usafi kwenye mahodi na nje ya hodi hasa wanaume walikuwa wanadeki huku kwenye mahodi hicho ni kitendo cha kujivunia kutoka kwako.

Friday 11 December 2015

How to secure Africa’s data revolution

By Carlos Lopes
Africa needs to embrace the data revolution — the exponential increase in the volume and types of data available, which is creating unprecedented opportunities to inform and transform societies.
To take one small example of the potential value: telecom companies can track people’s movements using data that identify the mobile phone towers through which their calls are routed. Tracking where people went after leaving a disease hotspot helped epidemiologists working on the West Africa Ebola epidemic to predict where new outbreaks might occur.
The same information — but anonymised, so people can’t be identified — can be used to track the movement of goods to markets, allowing economists to capture information on informal economies.
But collecting the statistics needed to inform society and track the 17 Sustainable Development Goals (SDGs) will require a formidable effort. And although not all government decisions need official statistics, Africa’s statistical requirements already go far beyond what is needed for the SDGs. National statistical offices (NSOs) are overwhelmed with producing timely, reliable and relevant statistics on everything from making investment decisions to gaining intelligence about business opportunities.
And there is a hefty price tag. An unpublished report drawn up by the heads of African NSOs and other partners this year estimates that producing harmonised statistics to track the SDGs costs a minimum of US$1.54 for every one of Africa’s 1.2 billion people. This figure would rise to US$4.33 per person with efforts to obtain more reliable numbers. It would increase further to US$8.11 per person in 15 years, when the population is also expected to have grown to 1.6 billion.
The expense is only one constraint — consistency, quality and the capacity of NSOs to produce good statistics are others. As a result, the statistics often don’t tally for much of Africa.
One example is official GDP (gross domestic product) calculations by NSOs, which have shown that annual household income in Africa grew from 0.9 to 1.1 per cent over the last 20 years. However, researchers from the London School of Economics in the United Kingdom found that it grew from 3.4 to 3.7 per cent a year over this period, based on factors such as the number of households with TV sets or electricity access.
And according to a 2008 report by the UN Food and Agriculture Organization, official submissions of agricultural statistics from African countries were at their lowest level since before 1961 — to the point where only 1-in-4 countries reported basic crop production data.
Without reliable statistics, how can we trust the numbers we are seeing?

New data ecosystem
An excellent recent opinion piece by Shannon Kindornay spelled out the commitments, made by countries in July at the Financing for Development summit in Addis Ababa, Ethiopia, to harness the opportunities of the data revolution.
It also highlighted barriers to implementation. Here in Africa, however, there are very good prospects for overcoming these. The data revolution can become a reality — and quickly.
The Financing for Development summit owes its success to a conference held on the sidelines of the annual meeting of African ministers of finance and economic planning in March.
There, a group of statisticians and data professionals from diverse backgrounds came together to chart a strategy for implementing the data revolution in Africa. The result was the Africa Data Consensus. The Consensus has many ground-breaking features, but two are particularly important.
One is rethinking the traditional concept of NSOs automatically ‘owning’ all official data that is collected and reported. The idea is to hand this role to ‘data communities’ — formed by bringing together the people from across the organisational spectrum (NGOs, private sector, NSOs or other government agencies) who produce or use data on sectors such as trade or energy.
Second, the Consensus establishes a principle where country data provided by data communities could be accepted as sources of official statistics as long as it is sanctioned by the NSO.

Opening up data collection
Embracing the data Consensus would mean a shift in the role of NSOs. It could create a new statistical landscape for Africa, opening up the field of data production and dissemination to both state and non-state actors.
The professionals involved in data communities would be in charge of defining the data they produce and use — and, in the process, the statistics reported across countries would become more consistent. And because data collected by non-state organisations typically relies on mobile technologies, data collection and dissemination costs are likely to plummet.
Finally, and most importantly, there would be just one overriding criterion: that only the most relevant, reliable, accurate, accessible and timely data — irrespective of who is producing it — is acceptable.
Africa’s NSOs have solid track records when it comes to cooperation and promoting innovative ideas. Previous initiatives include the African charter on statistics, a common legal framework for statistics development, and the Strategy for harmonization of statistics in Africa, a coordinated effort to support statistical consistency across Africa. So they are also likely to embrace the Africa Data Consensus — provided partners can be mobilised to help finance its implementation.
The UN Economic Commission for Africa, together with the African Union Commission and the African Development Bank, is supporting this effort to make the Africa data revolution a reality. Join us.

Syrian Opposition Conference in Riyadh


Press Statement
John Kerry
Secretary of State
Washington, DC
December 10, 2015


We welcome the positive outcome of the gathering of the Syrian opposition in Riyadh today, including reaching a consensus on principles for a pluralistic and democratic Syria and on how to advance a political settlement to end the conflict in Syria.
As I conveyed to Foreign Minister Al-Jubeir today, we appreciate Saudi Arabia’s leadership in convening this broad and representative group of 116 participants, who agreed today on the structure of their negotiating body to represent them in the political process. We appreciate that this extremely diverse group of Syrians put aside differences in the interest of building a new Syria.
With the progress made in both Vienna and now in Riyadh, the International Syria Support Group continues to build a foundation for constructive negotiations in January under UN auspices, regarding a political transition in accordance with the Geneva Communique of 2012. While this important step forward brings us closer to starting negotiations between the Syrian parties, we recognize the difficult work ahead, and remain determined to continue toward a political settlement that brings an end the conflict.

Remarks at COP21


Remarks
John Kerry
Secretary of State
Le Bourget
Paris, France
December 10, 2015


QUESTION: Mr. Secretary, (inaudible) the update on the COP, the climate change talks?
SECRETARY KERRY: Well, we’re working away. Today’s obviously getting down to the critical stage, and we had a very constructive meeting. We feel very good about the conversation we’ve just had. We need to work on language, and that what most of today and tonight will be.
QUESTION: Secretary, any update on the Syria situation, on your talks with Foreign Minister Lavrov?
SECRETARY KERRY: Yes. Foreign Minister Lavrov and I talked yesterday at length. I talked to Foreign Minister al-Jubeir, with Foreign Minister al-Attiyah. We are planning towards the potential of a meeting in New York. Not locked in yet, but the meeting in Saudi Arabia appears to be very constructive at this point, and we need to wait for the results of that conference. But I think everybody is moving in the direction that they want to rapidly try to get to a political process and get it underway under the UN auspices.
So we’ve made progress, but we have some tough issues still to get over.
QUESTION: And is Turkey one of those – the relationship between Turkey and Russia, is that one of the biggest obstacles?
SECRETARY KERRY: No, it’s actually not. Both countries are constructively trying to move towards the political process. There are obviously tensions and there are differences, but with respect to the political process, they’re both committed to trying to make that move forward. Thank you.
" width="640" />


Mwanamuziki na mtangazaji wa redio, Roberto Chindaba Banda 'maarufu Roberto Amarula kutoka nchini Zambia (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana , kuhusu onyesho lake atakalolifanya leo  katika fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam na kesho ukumbi wa Ngalawa Pub mkoani Dodoma katika Tamasha la Instagram Party Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba ambao wamemleta msanii huyo hapa nchini kwa kushirikiana na Kampuni ya C&G Solutions na kulia ni Mwanamuzi David Banda 'General Ozzy kutoka Zambia.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikdPqAeaSB82A6_8CXd-N-60eD5KtnjsE_6h3kxTNyN7k0czv-Lsju1j_n2ejMNENj-SsAZenXSDyHo2VhY6bwTdZmQaIM-i2WACmxaoOAuBJPFIXK-OoSiFKRf7LVmw__pNCkX8wLc3LC/s1600/2.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikdPqAeaSB82A6_8CXd-N-60eD5KtnjsE_6h3kxTNyN7k0czv-Lsju1j_n2ejMNENj-SsAZenXSDyHo2VhY6bwTdZmQaIM-i2WACmxaoOAuBJPFIXK-OoSiFKRf7LVmw__pNCkX8wLc3LC/s640/2.JPG
" width="640" />
 Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba (kushoto), akizungumza katika mkutano huo.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEghwJ3q_zDqvJxg94uP5tHDLjLI1ogMgpeBxIvfCB8xcya3czJwZ-Zo8ycIDZPotdfSSwdMcuHtdj6R-nZfAEGXR5-uopGvKPzBW6jXNfsom9aFDzUhEBa_7dqtErTPu-NgN-7e1r0bzFVD/s1600/3.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEghwJ3q_zDqvJxg94uP5tHDLjLI1ogMgpeBxIvfCB8xcya3czJwZ-Zo8ycIDZPotdfSSwdMcuHtdj6R-nZfAEGXR5-uopGvKPzBW6jXNfsom9aFDzUhEBa_7dqtErTPu-NgN-7e1r0bzFVD/s640/3.JPG
" width="640" />
Meneja Mawasiliano wa Freconic Ideaz, Krantz Mwantepele (kushoto), akizungumza katika mkutano huo ambapo alisema kampuni yao itaendelea kuleta wanamuziki wengine kutoka pande mbalimbali za dunia kama walivyofanya kwa Robarto Amarula. 

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3BBjs6bXbdb6DPe-Oj7YcY2xLmePEFHjIwE7J1wSu9yp8oqdi1pyXRLqkZd6sTHC8IU3lRHpsEY2ysN-wBzjiqXdL7ZIWgj0cyzADNXGewm82ao28M2PRGulXzGQRIxUoUx9W3n-GkB_M/s1600/4.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3BBjs6bXbdb6DPe-Oj7YcY2xLmePEFHjIwE7J1wSu9yp8oqdi1pyXRLqkZd6sTHC8IU3lRHpsEY2ysN-wBzjiqXdL7ZIWgj0cyzADNXGewm82ao28M2PRGulXzGQRIxUoUx9W3n-GkB_M/s640/4.JPG
" width="640" />
 Mwanamuzi David Banda 'General Ozzy kutoka Zambia (kulia), akizungumza na wanahabari.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQyyJYF0xsBnXDjlkEX9AEIbewI4JM5MuZkhE9_OK1Av9ZSpnDqfFDPldjaLrZdH4Z1ah0CEP-s1SSlb9MIudNGMwU-Jp5q6zu22wk9weNUhN1dIc6mHtxyk6brIgn_0vA5sXKsaQUgz9V/s1600/IMG_1688.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQyyJYF0xsBnXDjlkEX9AEIbewI4JM5MuZkhE9_OK1Av9ZSpnDqfFDPldjaLrZdH4Z1ah0CEP-s1SSlb9MIudNGMwU-Jp5q6zu22wk9weNUhN1dIc6mHtxyk6brIgn_0vA5sXKsaQUgz9V/s640/IMG_1688.JPG
" width="640" />
 Wanahabari wakichukua taarifa hiyo. 

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvwYCdk3_z87L6G2WkaaF3lAlwY99n-3lj_WQOUt5GoKtJzkP3oJB9SsCTPjW5DdKCkc7L0xc21MveZnp_YOtVDTeNK947SlCFmz8iB1K1aWeX3gpCiKNDiuL_ROnuV1N0wLhD702rYq5b/s1600/IMG_1723.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvwYCdk3_z87L6G2WkaaF3lAlwY99n-3lj_WQOUt5GoKtJzkP3oJB9SsCTPjW5DdKCkc7L0xc21MveZnp_YOtVDTeNK947SlCFmz8iB1K1aWeX3gpCiKNDiuL_ROnuV1N0wLhD702rYq5b/s640/IMG_1723.JPG
" width="426" />
 Mwanamuziki na mtangazaji wa Redio, Roberto Chindaba Banda 'maarufu Roberto Amarula kutoka nchini Zambia, akifanya vitu vyake mbele ya wanahabari.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEihESjQScKeJpr_LwZNkNO7ZomZcaxWLq4RclsfDVjMr3eF4_bLauQGa6Zcdz9OBCTt3djIWFHSQkm0xEQu1rBJIDbpStI_QQHoUZz0Ti1bdIK7Ko03zPhSBm6CntfzdnQht1_75TbpRbnp/s1600/IMG_1726.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEihESjQScKeJpr_LwZNkNO7ZomZcaxWLq4RclsfDVjMr3eF4_bLauQGa6Zcdz9OBCTt3djIWFHSQkm0xEQu1rBJIDbpStI_QQHoUZz0Ti1bdIK7Ko03zPhSBm6CntfzdnQht1_75TbpRbnp/s640/IMG_1726.JPG
" width="426" />
  Mwanamuzi David Banda 'General Ozzy, akiimba mbele ya wanahabari. Mwanamuziki huyu atamsindikiza Roberto Amarula wakati wa shoo yao.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUxLK1BFG8n8esDnwkjE5_SjgluQpXfrAm49Ae_pJmYWKbSEycZLY80TEdY4TftNT1qVhw9SpfqOxdnpLOMZj-LUYqedK_Gu4PDazid-bHM8EFLZRD_ZD8DQCjoH3Pf1Rxo9xTQZhf3OHQ/s1600/IMG_1728.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUxLK1BFG8n8esDnwkjE5_SjgluQpXfrAm49Ae_pJmYWKbSEycZLY80TEdY4TftNT1qVhw9SpfqOxdnpLOMZj-LUYqedK_Gu4PDazid-bHM8EFLZRD_ZD8DQCjoH3Pf1Rxo9xTQZhf3OHQ/s640/IMG_1728.JPG
" width="426" />
Mwanamuziki, Clinton Nyirongo kutoka Zambia naye atakuwepo kutoa burudani.
Na Dotto Mwaibale

MWANAMUZIKI wa Zambia anayetamba na wimbo maarufu wa Amarula, Robert Banda ‘Roberto Amarula’, kesho anatarajia kufanya shoo kubwa na ya aina yake katika Ufukwe wa Escape One uliopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam kabla ya kufanya hivyo mjini Dodoma kesho kutwa.

Akizungumza jijini Dar es Salaam leo asubuhi, Roberto Amarula, ameahidi kutoa burudanio ya aina yake kwa wakazi wa Dar es Salaam na Dodoma, akiwataka mashabiki wa muziki na burudani kujitokeza kwa wingi kwenye shoo zake hizo.

“Nimefurahia sana kuja Dar es Salaam na ninaahidi kutoa shoo ya aina yake kesho (leo) na Dodoma ili kuwaburudisha Watanzania, lakini pia nitatembelea vituo vya watoto yatima ili kuwafariji na kuwapa nguvu wajione nao ni sehemu ya jamii ya Watanzania na Afrika kwa ujumla,” alisema aliyeambatana na wasanii wenzake wa Zambia, David Banda ‘General Ozzy’ na Clinton Ntirongo ‘Mandela’.

Kwa upande wake, Mkugenzi wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba, alisema kuwa shoo ya leo itawahusisha pia wasanii wa Tanzania kama Ben Pol, Roma Mkatoliki, Fred Swag, Msouth na wengine wengi na kwamba onyesho la Dodoma litafanyika kwenye ukumbi wa Ngalawa Pub, ikiwa ni sehemu ya tamasha la Instagram Party.  

Kwa upande wake, Meneja Mawasiliano wa Frecon Ideaz, Krantz Mwantepele, alisema: “Tunafahamu kiu ya Watanzania katika suala zima la burudani ndio maana tumewaletea msanii huyu ambaye kwa sasa ni maarufu mno Afrika na kwingineko tukiahidi kuwaleta wasanii zaidi wakubwa Afrika na hata Marekani ili kukata kiu ya mashabiki wa muziki hapa nchini.”

Ziara ya Roberto Amarula ambaye ni mshindi wa tuzo za uandishi bora, mwanamuziki, mtayarishaji muziki na mtangazaji wa redio, iliyoratibiwa kwa pamoja na Freconic Ideaz na C&G Solutions, imedhaminiwa na Millard Ayo, Morena Hotel, Shabiby Bus Service na Clouds FM.






KAWAIDA




Mwanamuziki na mtangazaji wa redio, Roberto Chindaba Banda 'maarufu Roberto Amarula kutoka nchini Zambia (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana , kuhusu onyesho lake atakalolifanya leo  katika fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam na kesho ukumbi wa Ngalawa Pub mkoani Dodoma katika Tamasha la Instagram Party Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba ambao wamemleta msanii huyo hapa nchini kwa kushirikiana na Kampuni ya C&G Solutions na kulia ni Mwanamuzi David Banda 'General Ozzy kutoka Zambia.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba (kushoto), akizungumza katika mkutano huo.
Meneja Mawasiliano wa Freconic Ideaz, Krantz Mwantepele (kushoto), akizungumza katika mkutano huo ambapo alisema kampuni yao itaendelea kuleta wanamuziki wengine kutoka pande mbalimbali za dunia kama walivyofanya kwa Robarto Amarula. 

 Mwanamuzi David Banda 'General Ozzy kutoka Zambia (kulia), akizungumza na wanahabari.
 Wanahabari wakichukua taarifa hiyo. 

 Mwanamuziki na mtangazaji wa Redio, Roberto Chindaba Banda 'maarufu Roberto Amarula kutoka nchini Zambia, akifanya vitu vyake mbele ya wanahabari.
  Mwanamuzi David Banda 'General Ozzy, akiimba mbele ya wanahabari. Mwanamuziki huyu atamsindikiza Roberto Amarula wakati wa shoo yao
ASKOFU CHARLES GADI AONGOZA UMOJA WA MAKANISA YA DODOMA KUMUOMBEA RAIS DK.JOHN MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO
 Viongozi wa Makanisa mbalimbali ya mkoani Dodoma wakiwa wameshika picha za Rais Dk.John Magufuli, Waziri Mkuu, Majaliwa Kasimu Majaliwa na Makamu wa Rais Samia Hassan Suluhu wakati wa kufanya maombi ya kuwaombea yaliyofanyika mjini Dodoma juzi. Maombi hayo yaliongozwa na Askofu wa Kanisa la Good News for All Ministry International la jijini Dar es Salaam.
 Viongozi hao na waumini wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa maombi hayo.
Picha ya pamoja ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), wakati wa maombi hayo. Maombi hayo yalifanyika mjini humo baada ya viongozi hao na waumini mbalimbali kushiriki kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dk. John Pombe Magufuli la kuitumia siku ya Maadhimisho ya Siku ya Uhuru kufanya usafi nchi nzima.

Thursday 10 December 2015

ALBAMU YA NYIMBO ZA INJILI YA SOGEA NA BARAKA ZA BWANA ZAZINDULIWA RASMI JIJINI DAR E S SALAAM NA MHE. ANGELA KAIRUKI
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo na Makazi, Angela Kairuki (kushoto), akionesha DVD ya nyimbo za injili iitwayo Sogea wakati wa uzinduzi wa albamu mbili za
nyimbo hizo ikiwepo na ya Baraka za Bwana zilizoimbwa na muimbaji Anna Shayo Dar es Salaam juzi. Kulia ni Mwanaharakati Hoyce Temu na mwimbaji na mmiliki wa albam hizo, Anna Shayo. Kairuki alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo.
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo na Makazi, Angela Kairuki (kushoto), akionesha DVD ya nyimbo za injili iitwayo Sogea wakati wa uzinduzi wa albamu mbili za
nyimbo hizo ikiwepo na ya Baraka za Bwana zilizoimbwa na muimbaji Anna Shayo Dar es Salaam juzi. Wa pili kulia ni Mwanaharakati Hoyce Temu na mwimbaji na mmiliki wa albam hizo, Anna Shayo. Kairuki alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo. Kulia ni mdogo wake Hoyce Temu.
Mwimbaji na mmiliki wa albam hizo, Anna Shayo (kulia), akimkabidhi Kairuki risala yake.
Waziri Kairuki akimkabidhi Anna Shayo kitita cha sh.milioni moja.
Mwimbaji wa nyimbo za injili, Juvenalister Mabumba akitoa burudani katika uzinduzi huo.
Mwimbaji wa nyimbo za injili, Ulimbaga Mwakatobe akiimba wakati wa uzinduzi huo.
Mwimbaji Andrew Kihwelu (kushoto), akitoa burudani.
Mwimbaji  Supa Belgano (kulia), akitoa burudani.
Mhe. Kairuki akisalimiana na waimbaji wa nyimbo za injili.
Mwimbaji, Stellah Joel (kulia), akiimba katika uzinduzi huo huku akisindikizwa na wenzake.
Meza kuu ikipiga makofi. Kushoto ni Baba Askofu, Redoice Ndalima.
Muimbaji Anna Shayo akiimba wakati akizitambulisha nyimbo zake zilizomo katika albam hiyo.
Anna Shayo na wacheza shoo wake wakipagawisha.
Picha zikipigwa katika uzinduzi huo.
Mwimbaji Anna Shayo akiwa na waimbaji wenzake.
Hapa ni shangwe na furaha wakati wa uzinduzi.
Baadhi ya waimbaji wa nyimbo za injili.
Ni kuserebuka kwa kwenda mbele ndani ya yesu.

Wageni waalikwa na waimbaji wa nyimbo za injili wakiwa kwenye uzinduzi huo.

Na Dotto Mwaibale

SERIKALI imesema itaendelea kuwaunga mkono wasanii mbalimbali ambao tungo zao zitakuwa zinadumisha upendo na amani ya nchi.

Hayo yalibainishwa na aliyekuwa Naibu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki wakati akizindua albam mbili za nyimbo za injili za Sogea na Baraka za Bwana za muimbaji Anna Shayo.

"Serikali itaendelea kuwajengea miundombinu mizuri wasanii ambao tungo zao zinahamasisha jamii kudumisha amani na upendo hivyo kuifanya nchi kutulia kupitia nyimbo zao" alisema Kairuki.

Kairuki alisema mbali ya nyimbo hizo kuhamasisha jamii kuitunza amani ya nchi pia zimekuwa zikiburudisha na kuhubiri habari njema hivyo kuwaidia wananchi kuwajenga kimaadili.

Kwa upande wake mmiliki wa albam hizo mwimbaji wa nyimbo za injili Anna alisema sehemu ya mapato atakayopata baada ya kuuza DVD hizo ambazo zipo katika maduka ya Msama Promotion atazitumia kuwasaidia watoto yatima wenye ulemavu wa akili wanaolelewa katika Kituo cha Lushoto mkoani Tanga katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Krismas.

Alisema pamoja na kusaidia kituo hicho pia anahitaji kupata sh. milioni 25 ili kununua vyombo vya kupazia sauti ili aweze kupanua huduma yake ya uimbaji na kuhubiri.

Katika uzinduzi huo Kairuki alitoa sh.milioni 1 kwa ajili ya kumuunga mkono mwimbaji huyo ili kupata fedha za kununulia vyombo hivyo ambapo pia wageni waalikwa waliweza kumchangia.