Saturday 18 October 2014


 
 Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein akimuapisha  Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu-Zanzibar





 Wajumbe wa kikao hicho, Ridhiwani Kikwete na Mama Salma Kikwete wakijadili jambo wakati wa kikao cha Hamlmashauri Kuu (NEC ) ya CCM mjini Dodoma