Thursday 28 June 2012


BREAKIN NEWZZZZ!!! MADAKTARI.

TAMKO LA JUMUIYA YA MADAKTARI HILI HAPA

KAMATI YA JUMUIYA YA MADAKTARI TANZANIA

YAH: TAMKO FUPI LA JUMUIYA YA MADAKTARI KWA WAANDISHI WA HABARI LEO TAREHE 29.06.2012

Madaktari wote hatuna imani na tume iliyoundwa na Jeshi la polisi nchini yenye lengo la kuendesha uchunguzi juu ya kutekwa, kunyanyaswa na kupigwa vibaya kwa Dr. Ulimboka Stephen na tunataka chombo huru kiundwe ili kupata ukweli wa tukio hilo.

Pia tunakemea na kuonya juu ya vitisho vyote vinavyotolewa na baadhi ya watawala katika taasisi mbalimbali dhidi ya madaktari mfano Hospitali ya Rufaa ya Dodoma, Bugando, Mbeya na kwingineko ambapo wametishwa na kufukuzwa kwa kutumia mabavu.

Madaktari tunazidi kusisitiza kuwa hakuna njia nyingine yeyote ya kusuluhisha mgogoro huu isipokuwa ni kwa kutekeleza madai na hoja za msingi za madaktari kwa njia ya mazungumzo ya dhati.

Madaktari tumechoka kuona huduma za afya nchini zikizidi kudorora mwaka hadi mwaka, Tumechoka kuona wagonjwa wakilala chini na watoto wakilala wanne katika kitanda kimoja Tumechoka kuona msongamano mkubwa kwa wagonjwa katika hospitali zetu huku kukiwa hakuna mpango wowote wa uboreshaji.

Tumechoka kuona wagonjwa wakikosa dawa, vipimo sahihi na watumishi wa afya wakifanya kazi katika mazingira magumu yanayoviza ubora wa huduma na misingi ya taaluma.

Kwa hiyo, kwa moyo wetu leo tumejitolea kutetea uboreshaji wa sekta ya afya licha ya vitisho tunavyoendelea kuvipata.

Rai kwa Madaktari; Madaktari wote kuwa watulivu katika kipindi hiki kigumu, tunashukuru madaktari wote kwa ushirikiano na kuendelea na mshikamano.

Imetolewa na Kamati ya Jumuiya ya Madaktari.

 

Global Korea Lecture: 'Korean Culture Shining BrightK-Music

Korean Pansori and Western Performer Training
 
DATE: Tuesday 3 July 2012 18.30
VENUE: Korean Cultural Centre UK
Speaker: Dr. Tara McAllister-Viel, Head of Voice
East 15 School of Acting (University of Essex)
 
Celebrating our 2012 summer festival, ‘All Eyes on Korea’, Korean Cultural Centre UK is hosting a series of lectures to support and compliment our programme of events. For this, Music lecturer Dr. Tara McAllister-Viel will have talks on P’ansori, Korean traditional musical drama.  
 
 
P’ansori is a unique form of art, which is unfamiliar in the west. Like the ‘blues’ sound which is linked to particular types of emotions the ‘sori’ of P’ansori is well suited for the performance representation of ‘han,’ or ‘grief.’ Furthermore, today’s P’ansori artists continue to experiment with forms and creating intercultural performances from standard Korean texts in translation, or developing original P’ansori story-songs that address modern topics.
 
Dr. Tara McAllister-viel will share her experience of implementing the Korean traditional vocal art form, P’ansori into an original voice curriculum. This lecture introduces key principles and practices of Korean P’ansori and contrasts the styles of vocal training and performance with Western actor training. The lecture will result in a better understanding of the rich traditions of P’ansori, as well as offering a glimpse at the exciting developments in this evolving art form.
 
Please send us your RSVP to info@kccuk.org.uk or Phone 0207 004 2600
 
* Dr. Tara McAllister-Viel is Head of Voice at East 15 School of Acting (University of Exeter). Previously, she was Visiting Professor-Voice at The Korean National University of Arts, School of Drama, (Seoul, Korea) leading the voice programmes for the graduate and undergraduate conservatoire acting courses. Over the course of four years, Tara designed and implemented original voice curriculum integrating Western voice training with a Korean traditional P’ansori. She studied privately with Human Cultural Treasures Han Nong Son and Song Uhyang.