Friday 20 January 2012

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
---
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Anne Semamba Makinda (Mb.,) kutokana na kifo cha Mhe. Jeremia Solomon Sumari, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tiketi ya CCM na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, kilichotokea usiku wa kuamkia leo tarehe 19 Januari, 2012 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
“Nimeshtushwa, nimesikitishwa na kuhuzunishwa sana kutokana na taarifa za kifo cha Mheshimiwa Jeremia Solomon Sumari kwani alikuwa kiongozi aliyewatumikia vema wananchi wa Jimbo lake la Uchaguzi la Arumeru Mashariki na Taifa kwa ujumla katika wadhfa wake wa Waziri kwa umahiri na uhodari mkubwa”, amesema Rais Kikwete katika salamu zake.
Rais Kikwete amesema kutokana na kifo chake, wananchi wa Arumeru Mashariki wamepoteza kiongozi wa kutegemewa sana huku Taifa likiachwa na pengo kubwa ambalo si rahisi kuzibika ikizingatiwa kwamba alikuwa kiongozi katika Wizara ambayo ni mhimili muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu.
“Kwa dhati ya moyo wangu, natuma salamu za rambirambi na pole nyingi kwa familia ya Marehemu Jeremia Sumari kwa kumpoteza kiongozi na mhimili madhubuti wa familia. Ninawahakikishia kwamba nipo pamoja nanyi katika kuomboleza msiba huu mkubwa, na namuomba Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema aipumzishe roho ya Marehemu Jeremia Solomon Sumari mahali pema peponi, Amina”, ameongeza kusema Rais Kikwete.
Ameiomba familia ya Marehemu kuwa na moyo wa uvumilivu na subira katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo ya mpendwa wao kwa kutambua kuwa yote ni mapenzi yake mola.
Imetolewa naKurugenzi Ya Mawasiliano IKULU
19 Jan 2012
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dkt. Batlda Burian, wakati Balozi huyo alipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu Dar es Salaam leo Januari 19, 2012, kwa ajili ya kumuaga rasmi kwenda kuanza kazi nchini Kenya baada ya uteuzi wake.




Press release
Thursday 19 January 2012
For immediate use
Ed Miliband's speech on responsible capitalism
Ed Miliband MP, Leader of the Opposition and Leader of the Labour Party, said at a visit to Which? this morning: "From bank charges to train costs, from energy companies to low cost airlines and pensions, the Government can act. "You’ll have noticed that it’s not just me talking about irresponsible capitalism. "We had a speech earlier this week from the Deputy Prime Minister and today we have a speech from the Prime Minister. "I welcome the fact that other leaders are coming onto the ground that I set out in my Labour Party conference speech about the need to tackle predatory capitalism. "But what I say to David Cameron is: "Let’s judge you on your deeds and not your words. "If he is serious about tackling irresponsible capitalism he needs to clamp down on the fact that train companies are ripping people off. "If he is serious about tackling irresponsible capitalism he needs to take action to break up the rigged energy market. "If he is serious about tackling irresponsible capitalism he needs to take action to stop those exorbitant bank charges. "That’s the proof that he is really serious about this agenda. "And if he takes action, we’ll support him. "But if he doesn’t take action, we’ll call him on it. "Because I frankly don’t believe that this Prime Minister is serious about this agenda. "Why? He attacked me last year when I talked about irresponsible capitalism and I’m afraid its never going to work if your basic view is that government should just get out of the way. "What you need is government willing to take action - willing to stand up to the vested interests. "I strongly believe that this agenda is incredibly important to people at this time when people are hard pressed. We are determined as a party to show that we will stand up for the squeezed middle. "We as a Labour Party are determined to be champions of the consumer. "We are determined to stand up against the vested interests that are imposing a surcharge culture on people."Ed Miliband also highlighted the Government’s lack of action on executive pay and bank bonuses. He said: "I think that you’ve got to judge politicians on their deeds, not their words, on this issue. "Look at everything that the government have done so far: not making it easier for train companies to overcharge customers, not acting on the energy market, and not acting on the bonus culture in our banks. We’ve got another example of that today with Stephen Hester’s potential bonus from the Royal Bank of Scotland."All those things suggest that this is a government not acting in a way its rhetoric would suggest. "I’m up for any politician talking about these issues. But let’s judge everyone on their action, not on their rhetoric. "That is the test for David Cameron today. Not whether he can talk the talk on responsible capitalism, but if he walks the walk. "What action is he going to take on behalf of hard pressed consumers, on behalf of the squeezed middle who want action from him, not words."
Ends
Editor's notes:
1. Labour has set three tests for the Government on executive pay:1. Transparency:- One salary, one bonus – pay awards have become increasingly complex and it has become difficult for shareholders to know the full value of remuneration packages so, to improve transparency for shareholders and the public, executives should be paid a basic salary with a performance-related element where justified.- Publish what is paid – Labour has called for firms to publish the ratio of average salaries of employees to executive pay; further to the publication of the ratios we would require the Department of Business, Innovation and Skills to publish a league table of the worst offenders with the highest ratios2. Accountability: - Put an employee representative on the renumeration committee of every company- Empower pensioners and investors - to increase accountability, investors and pension fu nd managers should be required to disclose how they vote on remuneration decisions so pensioners and investors would easily be able to access information on where their monies are being used to finance big pay deals. The last Labour government legislated in the 2006 Companies Act for this to to happen but the Government has refused to bring it in to force. 3. Fairness:Labour’s five point plan for growth and jobs already includes a proposal for another round of the bank bonus tax to pay for 100,000 jobs for our young people