Sunday 20 February 2011

The launch of Africa UK House of Lords

MP Chi Onwurah and Shadow business minister (labour) addressing guests at the Africa UK launch which is a national advocacy and engagement intiative dedicated to enahncing the contribution the Diaspora to Africa development and fostering greater dialogue between UK-based Africans working in development and national and international policy makers.

MP Chi Onwurah speaking to other guests.
Dr. Titi Banjoko- Africa recruits Director speaking at the event.
Deputy Labour Leader Harriet Harman MP.

Steven O'Brian MP Secretary for DFID


Jumuiya ya Watanzania Italia,kwa niaba ya Watanzania wanaoishi Italia, inatoa rambirambi kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki waliofariki na waliojeruhiwa katika milipuko huko Gongo la Mboto Dar Es Salaam.

Jumuiya ya Watanzania Italia imepokea taarifa hizi kwa masikitiko makubwa, ni imani yetu kuwa serikali yetu italitafutia ufumbuzi wa kudumu suala hili kwani ni mara ya pili sasa kutokea nchini.

Tunaamini kwamba maafa haya yamesababisha simanzi kubwa kwa nchi yetu, wakazi wa Gongo la Mboto na familia zilizokubwa na maafa haya. Jumuiya ya Watanzania Italia inawaombea wanafamilia wawe na moyo wa subira na ujasiri katika kipindi hiki kigumu.
Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa serikali na viongozi wote,mashirika , watu binafsi na viongozi wa dini kwa kuchukua hatua za haraka kuwasaidia waliokubwa na maafa,moyo huo wa kujitolea tunaomba uendelee hivyo na zaidi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!
Abdul Rahaman A. Alli.
Mwenyekiti.