Tuesday 2 February 2010

SHUKRANI
FAMILIA YA MAREHEMU ALHAJ RASHIDI MFAUME KAWAWA INATOA SHUKRANI ZA DHATI KWA MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA; MHE. DKT. ALI MOHAMED SHEIN, MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA; MHE. AMANI ABEID KARUME, RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR; MHE. MIZENGO PETER PINDA , WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA; CHAMA CHA MAPINDUZI, NDUGU GEORGE YAMBESI, KAIMU KATIBU MKUU KIONGOZI WA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA (MWENYEKITI WA KAMATI YA MAZISHI) NA WAJUMBE WAKE, WANANCHI WOTE WATANZANIA WALIOKO NDANI NA NJE YA NCHI, JAMII YA KIMATAIFA NDANI NA NJE YA NCHI, MADAKTARI NA WATUMISHI WOTE WA SEKTA YA AFYA WA NDANI NA NJE YA NCHI , VYOMBO VYA HABARI VYA NDANI NA NJE YA NCHI, VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA, MASHEIKH, MADHEHEBU MENGINE YOTE YA DINI NA VYAMA VYOTE VYA SIASA VYA UPINZANI NCHINI KWA MISAADA NA HUDUMA MBALIMBALI YA HALI NA MALI WALIYOITOA WAKATI WA KUMUUGUZA MZEE WAO MAREHEMU RASHIDI MFAUME KAWAWA HADI KIFO KILIPOMCHUKUA DISEMBA 31, 2009 KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI NA WAKATI WA MAZISHI YAKE YALIYOFANYIKA KWA HESHIMA ZOTE JANUARI 2, 2010 MADALE, DAR ES SALAAM.
SI RAHISI KUTAJA MAJINA YA WOTE WALIOWAFARIJI WAKATI WA MSIBA WA MZEE WAO ILA FAMILIA INATOA SHUKRANI ZAKE ZA DHATI KUPITIA SALAMU HIZI KWA KILA MMOJA WENU ALIYESHIRIKI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUWAFARIJI WAKATI WA MSIBA MKUBWA WA MZEE WAO.
FAMILIA INAWAKARIBISHA WOTE KATIKA HITMA/AROBAINI YA MAREHEMU MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 6 FEBRUARI 2010 SAA 7 MCHANA NYUMBANI KWAKE MADALE, DAR ES SALAAM.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI, AMIN.
INNAH LILLAH WA INNA ILLAHI RAJJIUN.



Former Prime Minister Tony Blair appeared in front of the Iraq inquiry to answer questions about his decision to take the UK to war against Iraq.Below was the scene outside

ANALYSIS - BY IAIN WATSON
Overall, Tony Blair gave an assured performance. He wriggled a bit when asked not about what he had said to previous Iraq inquiries, but what he had said to daytime TV presenter Fern Britton.With no WMDs discovered, Mr Blair went out of his way to point to Saddam's lack of co-operation in coming clean about his weapons, or lack of them - which meant that Saddam was in "material breach" of his obligations to the UN.
But his main argument was that, actually, decisions weren't based on absolutes but on "the calculus of risk". In the more uncertain world after 9/11 it was simply too risky not take action against a dictator who had used chemical weapons on his own people.


Protocols
The following are protocols used in the inquiry for:
witnesses giving evidence to the Iraq Inquiry
hearing evidence by the Iraq Inquiry in public
sensitive information



Statements
Opening statement by Sir John Chilcot at Iraq Inquiry launch
Statement by Sir John Chilcot about the first set of public hearings
Sir John Chilcot's closing statement, 17 December 2009





Biographies of the Iraq Inquiry members
Sir John Chilcot (Chairman)
Sir Lawrence Freedman
Sir Martin Gilbert
Sir Roderic Lyne
Baroness Usha Prashar




Relevant documents
Letter from Professor Sir Lawrence Freedman to Sir John Chilcot dated 18 January 2010 [PDF 150KB, 1 page]
Memo from Professor Sir Lawrence Freedman to Jonathan Powell, 16 April 1999 [PDF 33KB, 5 pages]
Letter from the Prime Minister to Sir John Chilcot dated 17 June 2009 [PDF 53KB, 2 pages]
Letter from Sir John Chilcot to the Prime Minister dated 21 June 2009 [PDF 611KB, 2 pages]
Letter from the Prime Minister to Sir John Chilcot dated 22 June 2009 [PDF 53KB, 2 pages]
Letter from the Prime Minister to Sir John Chilcot dated 19 January 2010 [PDF 26KB, 1 page]
Letter from Sir John Chilcot to the Prime Minister dated 21 January 2010 [PDF 344KB, 2 pages]
Letter from the Prime Minister to Sir John Chilcot dated 22 January 2010 [PDF 90KB, 1 page]



For those who do have a ticket we advise you to plan your journey to arrive at the QEII Centre in good time for the hearing. The Inquiry recommends that you use the entrance to the QEII Centre located on Storey’s Gate. A map of the Centre’s location can be found here





For more information, please click on the links below:
Hearings Timetables
Public Access to the Hearings
Ballot Access to the Hearings - Tony Blair
Evidence

Source BBC,IRAQ ENQUIRY

PHOTOS:Ayoub mzee