Sunday 14 September 2008

Benjamin Mkapa's new vision


Waislamu wote mnatangaziwa kuwa salat Taraweeh itasaliwa katika chuo cha Monor Park, nyuma ya duka la Sadi na Monor Park Station, salat Taraweeh itaanza baada ya Isha 2130 kila siku, Waislamu Wote Mnakaribishwa.Maelezo zaidi wasiliana na Maalim Abdallah 07828804152 Ally Muhdin 0770786069 or Email - info@tanzaniaone.net





Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu.Mheshimiwa
Benjamin William Mkapa.
--------
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu,Bw.Benjamin Mkapa amesema amefumba midomo katika masuala yanayohusu siasa na badala yake kwa sasa anajihusisha zaidi na mambo ya dini.Rais Mkapa alisema hayo Jumapili iliyopita baada ya ibada ya misa katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Fransisco Exaveri lililopo Nyakahoja jijini hapa.
Alisema kwa sasa anatumia muda mwingi akisali na kuwataka waumini wa dini mbali mbali nchini kusali zaidi na kuwataka Watanzania kujenga moyo wa upendo miongoni mwao.Aliongeza kuwa waumini wa kweli mara kwa mara huwaombea wenzao amani na upendo na kwamba amani hiyo huanzia baina ya mtu na mtu,majirani,jamii hadi nchi na nchi.
Alisema kwa sasa anaona ni afadhali aendelee kumwomba Mungu na kueneza jina lake kwa njia ya Biblia,jambo ambalo aliwataka Watanzania kufanya hivyo na kwamba watapata neema zaidi iwapo watafuata mahubiri yake na kuhudhuria ibada za misa mara kwa mara na kuwasamehe waliowakosea.
"Enzi za mimi kujihusisha na mambo ya siasa zilikoma pale nilipokabidhi madaraka kwa Serikali ya Awamu ya Nne mwaka 2005,"alisema Rais Mkapa.Aidha,alisema hata katika ibada hiyo,hakutarajia kupewa nafasi ya kuwaeleza wananchi jambo lolote na kuongeza kuwa alihudhuria ibada hiyo kama muumini wa kawaida.Habari hii na George Boniphace .










YOU ARE INVITED TO A COCKTAIL AND NETWORKING SESSION BETWEEN KENYAN BPO COMPANIES & THE UK DIASPORA:
Friday 19th September 2008


YOUR INVITATION TO OUTSOURCING TO KENYA EVENT
The Kenya ICT Board, the Kenya Business Processing Outsourcing (BPO) and Contact Centre Society and NETWORKING4PROFESSIONALS (N4P) will be hosting a cocktail and networking session between Kenyan BPO companies and the UK Diaspora on Friday 19th September 2008 from 6:15pm at the Hilton Hotel, London Kensington in Holland Park. There has been keen interest and debate about initiatives aimed at attracting investment in BPO and ICT to Kenya. The emphasis thus far has been on marketing Kenya internationally, to European and North American companies and investors who are looking to either outsource or offshore. However, a key segment that we have identified are Africans in the Diaspora! Many of them are keen on investing back home, while a good number of them are working in positions in the Western corporate world, where they can influence decisions on where their companies should outsource their non-core functions. There are also African businesses operating in the West who are keen to outsource to Kenya. It is therefore crucial for the Kenyan strategy to include Kenyans, and Africans in the Diaspora. It is against this background that we are hosting a networking and cocktail event for professionals and entrepreneurs in the UK Diaspora on Friday, 19th September, in London. This event will bring together major stakeholders in the ICT and BPO sectors from Kenya and the UK Diaspora, to exchange views, experiences and promote Kenya as an alternative outsourcing destination. Kenya is ideally suited to become a premier African provider of BPO services to the global economy by 2010. Kenya has favourable time zones (GMT+3), enviable geographical position as the gateway to East and Central African countries, well educated English speaking population with high literacy, a vibrant economy and supportive political environment.We invite you to come and exchange ideas, learn from each other and network with other like-minded people. Africa's image is changing - be part of the change.
THE AGENDA:
6:30 pm
Guest start arriving. Complimentary cocktails will be served
7:00 pm
Welcome and introductions by Dr. Lawrence Mbugua, CEO, NETWORKING4PROFESSIONALS.COM
7.10 pm
BPO Industry overview and the Government perspective by Catherine Ngahu, Chairman, Kenya ICT Board
7:30 pm
Presentation by Mrs. Gilda Odera, Chair, Kenya BPO and Contact Centre Society
7:50 pm
Presentation by European Call Center Awards Nominee, Nik Nesbit, Kencall
8:10 pm
Update from ICT working group and closing statement from Dr. Martin Koyabe, Chair, N4P ICT Working Group
8:30 pm
Keynote speech - BPO Value Proposition by Eunice Kariuki, Deputy CEO, Marketing, Kenya ICT Board
8:50 pm
Question & Answer Session
9:00 pm
Open networking session

Following the interactive seminar there will be an opportunity to network with like-minded professionals and entrepreneurs.
There are limited seats available to this event. To confirm your attendance and reserve a place, please register on our website http://ukimages.images11.com/sendlink.asp?HitID=1221217870951&StID=5530&SID=6&EmID=6080139&Link=aHR0cDovL3d3dy5uZXR3b3JraW5nNHByb2Zlc3Npb25hbHMuY29tLw%3D%3D or click here.
DATE: Friday, 19th September 2008
TIME: Registration from 6:30pm for 7:00pm start. Please arrive promptly to ensure we start on time.
VENUE: Hilton Hotel, London Kensington in Holland Park . 179-199 Holland Park Avenue, London, W11 4UL The hotel is short walk from Holland Park station, located on the A40 with bus links to central London. The nearest tube stations are Holand Park and Shephard's Bush Central. Click here for a location map
ADMITTANCE: FREE TO ATTEND. Please register on our website (http://ukimages.images11.com/sendlink.asp?HitID=1221217870951&StID=5530&SID=6&EmID=6080139&Link=aHR0cDovL3d3dy5uZXR3b3JraW5nNHByb2Zlc3Npb25hbHMuY29tLw%3D%3D) to reserve your place or click here